Dodoma FM

Chamwino

26 March 2021, 10:29 am

Wakazi wa Chamwino waahidi kuziishi ndoto za Rais Magufuli

Na Selemani Kodima Mkuu wa wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga amesema wataendelea kumkumbuka Hayati Magufuli kwa Juhudi zake ambazo alizionesha kwa wakazi wa Chamwino katika Huduma za Msingi ikiwemo Huduma ya Maji na umeme. Bi Nyamoga amesema Hayati Magufuli alionyesha…