Dodoma FM
Chamwino
20 July 2021, 11:57 am
Ukosefu wa madarasa kwa shule za msingi watajwa kuwa chanzo cha matokeo mabaya M…
Na; Shani Nicolous. Ukosefu wa madarasa katika shule za msingi na sekondari wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma imetajwa kuwa chanzo cha matokeo mabaya kwa wanafunzi hivyo kusababisha Mkoa wa dodoma kushika nafasi ya tatu kutoka mwisho kitaifa. Akizungumza na Dodoma…
26 March 2021, 10:29 am
Wakazi wa Chamwino waahidi kuziishi ndoto za Rais Magufuli
Na Selemani Kodima Mkuu wa wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga amesema wataendelea kumkumbuka Hayati Magufuli kwa Juhudi zake ambazo alizionesha kwa wakazi wa Chamwino katika Huduma za Msingi ikiwemo Huduma ya Maji na umeme. Bi Nyamoga amesema Hayati Magufuli alionyesha…