Dodoma FM

Bustani

27 March 2024, 5:38 pm

Elimu ya utunzaji Mazingira yawanufaisha wanafunzi

Wadau wa mazingira wanasema vijana wanapaswa kutambua kwamba jukumu la utunzaji wa mazingira ni la kila mmoja katika jamii hivyo ni vema washiriki katika shughuli za utunzaji wa mazingira. Na Mariam Kasawa. Elimu ya utunzaji mazingira na kilimo inatajwa kuwanufaisha…

20 February 2023, 2:08 pm

LATRA yafafanua usafirishaji wa mizigo ya Abiria

Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kwa mujibu wa kanuni ya 37 ni wajibu wa msafirishaji wa gari la abiria kumsafirishia abiria mzigo wake bure kama hauzidi kilo 20. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri Ardhini…