Dodoma FM

Bima

28 May 2021, 12:41 pm

TIRA yawataka wamiliki wa bima kuzingatia vitu muhimu

Na; SHANI NICOLOUS. Mamlaka ya usimamizi wa bima Tanzania TIRA wametoa wito kwa wamiliki wa bima kuzingatia vitu muhimu vinavyohitajika wakati wakileta madai yao ili kupatiwa huduma sahihi itakayosaidia kutatua madai hayo. Akizungumza na Dodoma fm Afisa mwandamizi wa bima…