AZAKI
20 October 2022, 12:11 pm
Ukosefu wa elimu ya udereva kwa bodaboda yachangia kuto kujua sheria za barabara…
Na; Mariam Matundu. Kutokupata mafunzo ya udereva katika chuoni kwa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda walio wengi ni sababu inayotajwa kuchangia wengi wao kutokuwa na matumizi sahihi na salama ya barabara . Baadhi ya madereva wa pikipiki hapa Dodoma wamesema…
18 October 2022, 6:44 am
Wakazi jijini Dodoma waomba kupunguziwa gharama za usafirishaji
Na; Mariam Matundu. Wananchi jijini Dodoma wameomba kuboreshewa usafirishaji ili kupunguza gharama za usafiri zinachochangia kupanda kwa gharama za maisha siku hadi siku. Denis mandia ni mkazi wa dodoma yeye amesema kuwa suala la kupanda kwa gharama za usafirishaji zinachochea…
23 October 2021, 2:39 pm
Spika Ndugai azitaka Asasi za kiraia nchini kutatua changamoto za watanzania na…
Na;Mindi Joseph . Spika Wa Bunge La Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh.Job Ndugai amezitaka Asasi Za Kiraia Nchini kutokutumika na badala yake zifanye Kazi Kwa Weledi na Uadilifu. Akizungumza Leo Jijini Dodoma Spika wa Bunge Job Ndugai wakati wa…
22 October 2021, 12:06 pm
Wiki ya AZAKI kuanza kesho
Na;Mindi Joseph. Ikiwa kesho ni Wiki ya Asasi za kiraia nchini AZAKI imetajwa kukua zaidi na kuchangia maendeleo endelevu nchini pamoja na wananchi. Akizungumza leo jijini Dodoma Nesia Mahenge Mkurungezi Mkazi CBM Tanzania amesema kila kwenye maendeleo ya nchi AZAKI…