Afya ya macho
8 November 2023, 5:21 pm
Mifugo ya mwenyekiti mstaafu yapewa sumu asema anaumuachia Mungu
Ikumbukwe mtaa huo una mwenyekiti wa mtaa ambapo majukumu yake ni kusimamia na kuhamasisha ulinzi na usalama wa watu na mali zao na wananchi wana haki na wajibu wa kulinda mali, rasilimali za umma na kupambana na kila aina ya…
4 October 2022, 12:03 pm
Wanafunzi wanao hitimu darasa la saba watakiwa kuto jiingiza kwenye uhalifu
Na; Victor Chigwada Wito umetolewa kwa wanafunzi wanao hitimu elimu ya msingi kuacha kujihusisha na vikundi vya uhalifu ambavyo vimekuwa gumzo kwa hivi karibuni wakati wakisubiri matokeo ya mtihani. Wito huo umetolewa na fadhila Chibago Diwani wa Kata ya Dodoma…
22 October 2021, 12:15 pm
Wananchi waonyesha muitikio mdogo katika kujitokeza kupima Afya ya macho
Na;Yussuph Hans. Licha ya Serikali kuhakikisha Huduma ya upimaji Macho inapatikana katika vituo mbalimbali vya afya nchini, imeelezwa kuwa kasi ya kujitokeza kupima Afya ya Macho kwa Wananchi bado ndogo. Wakizungumza na Taswira ya Habari baadhi ya Wakazi jijini hapa,…
15 October 2021, 11:59 am
Jamii yatakiwa kuzingatia Afya ya Macho
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuzingatia afya ya macho kwa kupima mara kwa mara macho . Akizungumza na Taswita ya habari meneja wa mpango wa taifa wa huduma ya macho wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee…