watoto
21 June 2022, 2:28 pm
Matumizi ya Teknolojia yatajwa kuwa changamoto kwa watu wenye ulemavu
Na;Mindi Joseph. Watu wenye ulemuvu wametajwa kukabiliwa na changamoto katika matumizi ya Teknolojia ya Mitandao Licha ya kuendelea kufanya jitihada za kuhakikisha wanawasaidia. Akizungumza na Taswira ya Habari Mkurungezi wa Taasisi ya zaina Foundation Zaituni Njovu amesema wanaendelea kuhakikisha kundi…
21 April 2022, 3:57 pm
Kanisa la FPCT lajenga kituo cha upimaji wa watoto wenye ulemavu
Na; Mariam Matundu. Kanisa la FPCT jimbo la Dodoma kupitia mradi wake wa elimu jumuishi limefanikiwa kujenga kituo cha upimaji kwa watoto wenye ulemavu ikiwemo kwa watoto viziwi . Jane Mgidange ni mratibu wa mradi huo amesema hatua hizo zilifikiwa…
12 April 2022, 4:26 pm
Serikali idhibiti ongezeko la watoto wa mitaani
Na; Shani Nicolous. Wakati siku ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani ikiadhimishwa kimataifa serikali imeombwa kuongeza nguvu na itilie mkazo jambo la kudhibiti ongezeko la watoto wa mtaani. Akizungumza na kituo hiki Elizabeth Msuya kutoka Taasisi isiyo ya kiserikali…
20 January 2022, 4:47 pm
Kisedete kupambana na familia zinazo ruhusu watoto kuingia mtaani
Na; Benard Filbert. Shirika la KISEDET ambalo linajighulisha na kuwahudumia watoto wanaofanya kazi mtaani wamesema mwaka huu watajikita zaidi na familia zinazoruhusu watoto kuingia mtaani ili kukomesha hali hiyo. Hayo yameelezwa na Ibrahim Mtangoo Afisa ustawi wa jamii kutoka shirika…
13 December 2021, 3:03 pm
Jamii yatakiwa kuwafundisha watoto mambo mbalimbali ya kijamii wakati wa likizo
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuunga mkono kauli ya Serikali kuto kuwapeleka Watoto kusoma masomo ya ziada kipindi cha likizo na badala yake watumie muda huo kujifunza mambo mbalimbali ya kijamii. Ushauri huo umetolewa na mhadhiri wa chuo kikuu cha…
22 October 2021, 11:54 am
Jamii yaaswa kuacha tabia ya kutelekeza watoto ili kupunguza wimbi la watoto wa…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuacha tabia ya kutelekea watoto ili kupunguza wimbi la watoto wa mitaani. Wito huo umetolewa na mwanaharakati kutoka shirika lisilo la kiserikali la Kisedeti Ibrahm Mtangoo amesema kuwa wimbi kubwa la watoto wa…
6 October 2021, 1:11 pm
Kamati za ulinzi na usalama wa mtoto zatakiwa kuimarishwa ili kukabiliana na vit…
Na; Selemani Kodima. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Mwanaidi Ali Khamis ameagiza kuimarishwa kwa Kamati za ulinzi na usalama wa mtoto ili zitumike kukabiliana na vitendo vya ukatili. Mh. Mwanaidi ametoa agizo hilo…
16 September 2021, 12:59 pm
Jamii imetakiwa kuacha kuwafanyisha kazi za ndani watoto wenye umri chini ya mia…
Na; Benard Filbert. Jamii imetakiwa kuacha kuwachukua watoto chini ya miaka 18 kufanya kazi za ndani kwani kufanya hivyo ni kinyume na sheria za Nchi ya Tanzania. Hayo yameelezwa na afisa maendeleo ya jamii Mkoa wa Dodoma Bi. Honoratha Rwegasira…
15 September 2021, 2:30 pm
Serikali yaanzisha ukaguzi wa mabasi ya abiria ili kubaini usafirishaji wa watot…
Na; Mariam Matundu. Serikali kwa kushirikiana na Wadau wa kutokomeza watoto wanaoishi mitaani wameazimia kuanza ukaguzi wa magari ya abiria ili kubaini usafirishaji wa watoto kwa lengo la kuzuia ongezeko la watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Hayo yamefikiwa katika…
7 September 2021, 2:32 pm
Serikali yapiga marufuku watoto wadogo kutumikishwa kuchunga mifugo
Na;Yussuph Hans. Serikali Nchini imepiga marufuku Watoto wadogo kutumikishwa kuchunga mifugo kwani wanahitajika kwenda Shule pamoja na kwamba hawamudu kundi kubwa la Mifugo. Hayo yamebanishwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa katika Mkutano…