Dodoma FM

watoto

21 June 2022, 2:28 pm

Matumizi ya Teknolojia yatajwa kuwa changamoto kwa watu wenye ulemavu

Na;Mindi Joseph. Watu wenye ulemuvu wametajwa kukabiliwa na changamoto katika matumizi ya Teknolojia ya Mitandao Licha ya kuendelea kufanya jitihada za kuhakikisha wanawasaidia. Akizungumza na Taswira ya Habari Mkurungezi wa Taasisi ya zaina Foundation Zaituni Njovu amesema wanaendelea kuhakikisha kundi…

12 April 2022, 4:26 pm

Serikali idhibiti ongezeko la watoto wa mitaani

Na; Shani Nicolous. Wakati siku ya mtoto anayeishi na kufanya kazi  mtaani ikiadhimishwa kimataifa serikali imeombwa kuongeza nguvu na itilie mkazo jambo la kudhibiti  ongezeko la watoto wa mtaani. Akizungumza na kituo hiki Elizabeth Msuya kutoka Taasisi isiyo ya kiserikali…

20 January 2022, 4:47 pm

Kisedete kupambana na familia zinazo ruhusu watoto kuingia mtaani

Na; Benard Filbert. Shirika la KISEDET ambalo linajighulisha na kuwahudumia watoto wanaofanya kazi mtaani wamesema mwaka huu watajikita zaidi na familia zinazoruhusu watoto kuingia mtaani ili kukomesha hali hiyo. Hayo yameelezwa na Ibrahim Mtangoo Afisa ustawi wa jamii kutoka shirika…