utumwa
9 March 2023, 4:35 pm
Uongozi wa kata ya Itiso yatoa pongezi kwa jitihada za ujenzi wa madarasa
Uongozi umetoa pongezi kwa wananchi wa kata ya Itiso wilayani Chamwino kwa juhudi kubwa wanayoifanya ya ujenzi wa Vyumba vya madarasa . Na Victor Chigwada. Uongozi wa Kata ya Itiso wilayani Chamwino umetoa pongezi kwa wananchi wa kata hiyo kwa…
22 February 2023, 5:38 pm
Uhaba wa vyumba vya madarasa watajwa kuwa kikwazo
Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo. Na Victor Chigwada. Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo ya elimu katika kata ya Chilonwa Wilaya…
30 May 2022, 4:34 pm
Ujenzi wa vyumba vya madarasa waendelea Bahi
Na;Mindi Joseph. Ujenzi wa madarasa katika shule za sekondari na Msingi kata ya bahi unaendelea ili kuhakikisha wanatatua changamoto ya Madarasa kwa wanafunzi. Akizungumza na Taswira ya habari Diwani wa kata hiyo Bw,Agustino Ndonuu amesema wananchi wameunganisha nguvu kwenye jitihada…
19 May 2022, 3:20 pm
Wananchi wa kata ya Ihumwa waanza mchakato wa ujenzi wa vyumba vya madarasa
Na; Victor Chigwada. wananchi wa Kata ya Ihumwa wilaya ya Dodoma mjini wameanza kuchukua jitihada za kuanzisha ujenzi wa vyumba vya madarasa kutokana na wingi wa wanafunzi katika shule ya msingi Ihumwa A . Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na…
23 August 2021, 1:53 pm
Wadau waizungumzia kumbukumbu ya biashara ya utumwa Duniani.
Na; Fred Cheti. Ikiwa leo Agosti 23 ni siku ya kumbukizi ya biashara ya utumwa Duniani bado inaelezwa kuwa athari za biashara hiyo ambayo inayotajwa kama moja ya ukatili wa kupindukia uliowahi kutokea kwa mwanadamu zinaendelea kuonekana duniani. Hiyo ni…