Dodoma FM

ushirikiano

9 March 2023, 3:46 pm

Madereva wa Bodaboda wahamasisha vijana kujiajiri

Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wamesema kazi wanayoifanya ni kazi rasmi na kuwahamasisha vijana wasio na ajira kuacha kukaa vijiweni bali watafute hata kazi ya bodaboda ili wajikimu kimaisha. Na Benard Magawa. Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani…

23 January 2023, 11:25 am

Bodaboda Bahi walalamika kuto nufaika na stendi

Na; Bernad Magawa . Madereva wa bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameelezea kutokunufaika na stendi ya mabasi wilayani humo . Hayo yamesema na Mwenyekiti wa madereva wa boda boda Wilaya ya Bahi Bw Mohamedi Mongoya mapema leo wakati akizungumza na…

29 November 2021, 1:56 pm

Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na India

Na; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya Uganda katika mambo mbalimbali ikwemo katika masuala ya elimu na biashara ili kuendelea kukuza uhusiano uliopo baina ya nchi hizo. Hayo yamesemwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…