ulinzi
1 August 2023, 4:52 pm
Wadau watakiwa kufahamu mwongozo wa taifa wa wajibu wa wazazi, walezi
Mwongozo huo wa Malezi Bora umetokana na utafiti uliofanywa na serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto duniani UNICEF, ambapo nguzo kuu tatu zitazingatiwa kwenye mwongozo huo za Kujali, Kulinda na Kuwasiliana na mtoto. Na…
12 January 2022, 2:34 pm
Mlowa bwawani waiomba serikali kuwajengea kituo cha polisi
Na; Neema Shirima. Wakazi wa kata ya Mlowa bwawani jijini Dodoma wameelezea ushiriki wao katika suala la ulinzi na usalama katika mtaa wao ambapo wamesema wanashiriki vema katika kuhakikisha hali ya ulinzi inakuwepo katika maeneo yao. Wakizungumza na taswira ya…
29 November 2021, 1:33 pm
Wizara ya Ulinzi imesema itaendelea kuhakikisha nchi inakuwa salama
Na; Mindi Joseph. Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa imesema itaendelea kuhakikisha kuwa mipaka ya nchi inakuwa salama huku akiwahimiza wananchi kushiriki kikamilifu katika ulinzi wa nchi. Akizungumza leo jijini Dodoma na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya…