Dodoma FM

ulinzi

12 January 2022, 2:34 pm

Mlowa bwawani waiomba serikali kuwajengea kituo cha polisi

Na; Neema Shirima. Wakazi wa kata ya Mlowa bwawani jijini Dodoma wameelezea ushiriki wao katika suala la ulinzi na usalama katika mtaa wao ambapo wamesema wanashiriki vema katika kuhakikisha hali ya ulinzi inakuwepo katika maeneo yao. Wakizungumza na taswira ya…