Dodoma FM

ujenzi

19 July 2021, 10:35 am

Wakazi wa kijiji cha Nholli kuanza ujenzi wa zahanati

Na; Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Nholi kata ya Mpalanga wilayani Bahi wamekabidhiwa mifuko miatatu ya saruji kwaajili ya ujenzi wa zahanati.Wakizungumza na taswira ya habari wakazi wa kijiji hicho wamemshukuru mbunge wa jimbo la Bahi mh. Kenneth Nollo…