uchaguzi
10 July 2021, 2:19 pm
Waziri Gwajima azindua rasmi baraza la Taifa la mashirika yasiyo ya kiserikali N…
Na;Mindi Joseph . Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto Dkt Doroth Gwajima amezindua rasmi baraza la taifa la mashirika yasiyo ya kiserikali NaCoNGO na kulitaka baraza hilo kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na uzalendo kwa kuzingatia…
9 July 2021, 11:07 am
Baraza la Taifa la mashirika yasiyo kuwa ya kiserikali NaCoNGO latangaza rasmi v…
Na; Mindi Joseph. Baraza la Taifa la Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali (NaCoNGO) limetangaza rasmi viongozi wapya waliochaguliwa nafasi za ngazi ya kitaifa watakaoongoza kwa kipindi cha miaka mitatu. Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo,Julai 8,2021,Mwenyekiti wa Kamati ya mpito iliyosimamia uchaguzi…
28 June 2021, 12:42 pm
Mwenyekiti wa baraza la Taifa la mashirika yasiyo ya kiserikali atangaza mchakat…
Na;Mindi Joseph . Mwenyekiti wa kamati wa baraza la taifa la mashirika yasiyo yakiserikali NaCoNGO Wakili Flaviana Charles ametangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi katika ngazi ya mikoa yote nchini unaoshirikisha wawakilishi waliochaguliwa kutoka kila wilaya. Akizungumza leo jijini Dodoma…
3 June 2021, 1:36 pm
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo…
Na; TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Konde na Udiwani katika Kata Sita za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 18 Julai mwaka 2021. Akitangaza uchaguzi huo, Mkurugenzi wa…