Dodoma FM

radio

12 September 2023, 12:26 pm

Serikali yaendelea kuchukua tahadhari kudhibiti Polio Nchini

Aidha wakuu wa Mikoa, Wilaya pamoja na Viongozi mbalimbali wametakiwa kusimamia Kampeni ya Kitaifa ya chanjo ya matone pamoja na Waganga wa Mikoa kutoa chanjo hiyo kwa wakati sambamba na kutoa elimu kwa jamii. Na Yussuph Hassan. Serikali imeendelea kuchukuwa…

1 September 2022, 2:19 pm

Wananchi watakiwa kushiriki awamu ya tatu ya chanjo

Na; Benard Filbert. Licha ya awamu ya pili ya utoaji wa chanjo ya Polio kufanikiwa kwa asilimia 100 ,Jamii imeombwa kutoa ushirikiano katika zoezi hilo ambalo limeanza leo kwa awamu ya tatu. Rai hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa…

29 April 2022, 6:48 am

Zoezi la chanjo ya polio la ahirishwa hadi may 12 na 15

Na;Yussuph Hassan. Zoezi la chanjo ya ugonjwa polio lililotarajiwa kuanza jana Nchini, limehairishwa ambapo zoezi hilo litafanyika kuanzia mwezi may 12-15 nchini huku wananchi wakikisitizwa kujiandaa na zoezi hilo. Akizungumza na kituo hiki Mratibu wa Chanjo Mkoani Dodoma Victor Kweka…