radio
12 September 2023, 12:26 pm
Serikali yaendelea kuchukua tahadhari kudhibiti Polio Nchini
Aidha wakuu wa Mikoa, Wilaya pamoja na Viongozi mbalimbali wametakiwa kusimamia Kampeni ya Kitaifa ya chanjo ya matone pamoja na Waganga wa Mikoa kutoa chanjo hiyo kwa wakati sambamba na kutoa elimu kwa jamii. Na Yussuph Hassan. Serikali imeendelea kuchukuwa…
1 September 2022, 2:19 pm
Wananchi watakiwa kushiriki awamu ya tatu ya chanjo
Na; Benard Filbert. Licha ya awamu ya pili ya utoaji wa chanjo ya Polio kufanikiwa kwa asilimia 100 ,Jamii imeombwa kutoa ushirikiano katika zoezi hilo ambalo limeanza leo kwa awamu ya tatu. Rai hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa…
18 May 2022, 2:19 pm
Wazazi / walezi jijini Dodoma watakiwa kuwapeleka watoto kupata chanjo ya polio
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa polio hauna tiba na unasababisha madhara kiafya ikiwemo kupooza kwa viungo vya mwili. Akizungumza leo jijini Dodoma katika uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya chanjo ya matone dhidi ya…
29 April 2022, 6:48 am
Zoezi la chanjo ya polio la ahirishwa hadi may 12 na 15
Na;Yussuph Hassan. Zoezi la chanjo ya ugonjwa polio lililotarajiwa kuanza jana Nchini, limehairishwa ambapo zoezi hilo litafanyika kuanzia mwezi may 12-15 nchini huku wananchi wakikisitizwa kujiandaa na zoezi hilo. Akizungumza na kituo hiki Mratibu wa Chanjo Mkoani Dodoma Victor Kweka…
26 July 2021, 11:31 am
Serikali yaja na mpango wa kupunguza tozo za leseni kwa radio za jamii katika n…
Na; Mariam Matundu. Katika kuboresha huduma za mawasiliano kwa umma hususani kwa njia ya Redio wizara ya teknolojia ya habari na mawasiliano imesema inampango wa kupunguza tozo za leseni kwa radio za kijamii katika ngazi ya wilaya na maeneo ya…