Dodoma FM
muungano
21 April 2022, 10:43 am
Maadhimisho ya muungano kufanyika Dodoma April 26
Na; Selemani Kodima. Serikali imesema kuwa maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanzania yanatarajia kufanyika tarehe 26 April 2022 jijini dodoma ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan. Taarifa iliyotolewa leo…