Dodoma FM
msongo wa mawazo
20 October 2022, 12:11 pm
Ukosefu wa elimu ya udereva kwa bodaboda yachangia kuto kujua sheria za barabara…
Na; Mariam Matundu. Kutokupata mafunzo ya udereva katika chuoni kwa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda walio wengi ni sababu inayotajwa kuchangia wengi wao kutokuwa na matumizi sahihi na salama ya barabara . Baadhi ya madereva wa pikipiki hapa Dodoma wamesema…
25 October 2021, 11:02 am
Ugumu wa maisha unachangia tatizo la msongo wa mawazo kuongezeka
Na; Benard Filbert. Kutokana na vijana wengi kujikita Zaidi katika shughuli za utafutaji wa Maisha pindi mipango hiyo inaposhindwa kukamilika imeelezwa kuwa husababisha tatizo la msongo wa mawazo. Hayo yameelezwa na Nuru Julius ambaye ni mtaalamu wa saikolijia kutoka Chuo…