Dodoma FM
msaada
11 April 2024, 5:41 pm
BMH yatoa mkono wa Eid kwa watoto yatima
Kituo Rahman kinachopatikana Chang’ombe kilianzishwa mwaka 1998 kwa ajili ya kutatua changamoto za akina mama ambapo mwaka 2006 kilianza kutoa malezi kwa watoto 15 wanaopitia changamoto mbalimbali. Na Mindi Joseph.Hospital ya Benjamin Mkapa imetoa vyakula kwa kituo cha Yatima cha…
25 August 2021, 12:53 pm
Foundation for disabilities hope (FDH)yaahidi kumsaidia Rhoda binti mwenye ulema…
Na; Mariam Matundu. Foundation for disabilities hope imemtembelea binti Rhoda Batholomeo Nambali mwenye ulemavu wa akili pamoja na ulemavu wa viungo na kuahidi kumsaidia bima ya afya pamoja na kumtafutia wadau wengine watakao msaidia . Afisa utawala wa taasisi hiyo…