Dodoma FM

msaada

11 April 2024, 5:41 pm

BMH yatoa mkono wa Eid kwa watoto yatima

Kituo Rahman kinachopatikana Chang’ombe kilianzishwa mwaka 1998 kwa ajili ya kutatua changamoto za akina mama ambapo mwaka 2006 kilianza kutoa malezi kwa watoto 15 wanaopitia changamoto mbalimbali. Na Mindi Joseph.Hospital ya Benjamin Mkapa imetoa vyakula kwa kituo cha Yatima cha…