Dodoma FM
mikataba
3 November 2021, 1:40 pm
Jamii imetakiwa kusoma na kuielewa mikataba mbalimbali kabla ya kusaini
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kusoma na kuelewa mikataba mbalimbali wanayopewa katika makubaliano kabla ya kuisaini. Wito huo umetolewa na msaidizi wa kisheria kutoka kata ya Dodoma Makulu Bw. Kapesa Youngson wakati akizungumza na Taswira ya habari na…