Dodoma FM

mahakamani,mahakamani

4 June 2021, 2:06 pm

Ole Sabaya afikishwa mahakamani

Leo Juni 4, 2021 aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kujibu tuhuma zinazowakabili. Hayo yanajiri ikiwa ni siku chache zimepita baada ya Rais wa Jamhuri…

5 December 2020, 10:56 am

Apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuua

Na Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Railway katika Wilaya ya Dodoma HAMALA DALA(32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma kwa shitaka la kuua kwa kukusudia.Akisomewa shitaka lake mbele ya Hakimu wa Wilaya ya Dodoma PASCHAL MAYUMBA na mwendesha…