Dodoma FM
maabara
7 December 2021, 11:05 am
Wamiliki wa maabara watakiwa kusimamia ubora wa maabara zao
Na; Shani Nicolous. BODI ya Maabara Binafsi za Afya (PHLB) nchini inawasisitiza wamiliki na wataalamu wa maabara kote nchini, kusimamia ubora wa maabara zao ili kuleta huduma sahihi katika jamii. Hayo yamebainishwa jijini Dodoma na Msajili wa Bodi ya Maabara…