Dodoma FM

lugha ya alama

28 June 2023, 4:25 pm

Serikali kuzitumia ripoti za uwajibikaji kukuza utawala bora

Taasisi ya Wajibu wamezindua Ripoti za Uwajibikaji ambapo ni nne ikiwemo Ripoti ya viashiria vya Rushwa, ubadhirifu na Udanganyifu katika Taasisi za Umma, Ripoti  ya uwajibikaji wa Vyombo vya Usimamizi kwa Taasisi za Umma. Na Seleman Kodima.  Naibu katibu mkuu…