Dodoma FM
kituo cha masuala juishi
10 June 2022, 3:40 pm
Taasisi yajiwekea lengo la kutokomeza vitendo vya rushwa kwa asilimia 80
Na; Benard Filbert. Taasisi ya SAUTI YA WAPINGA RUSHWA inayojihusisha na kutoa elimu dhidi ya vitendo vya rushwa nchini imeweka lengo la kutokomeza vitendo hivyo hadi kufika asilimia 80 itakapofika mwaka 2024. Hayo yameelezwa na Bwana Haruna Kitenge mwenyekiti wa…
3 September 2021, 12:50 pm
Wakazi wa mkoa wa Dar es salaam waliopo katika migogoro ya ndoa, mirathi na tala…
Na;Mariam Matundu. Inaelezwa kuwa Mkoa wa Dar es Salaam ni miongoni mwa Mikoa iliyogubikwa na mkinzano wa masuala ya kijamii ambapo tangu mwaka 2017 mashauri 7000 ya mirathi na mashauri 2000 ya migogoro ya ndoa yamefunguliwa. Wananchi wa Mkoa wa…