Dodoma FM

jeshi la polisi

2 February 2023, 1:19 pm

TAKUKURU Yaendelea kupiga vita rushwa ya ngono

Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema inaendelea kupiga vita rushwa ya ngono kwani inadhalilisha utu wa Mtu. Na Mindi Joseph Changamoto ya rushwa ya ngono imekuwa ikiongezeka siku hadi siku kutokana na ukimya dhidi ya vitendo hivyo…