jeshi la polisi
15 February 2023, 5:28 pm
Upotevu wa wastani wa Shilingi 380,000 kwa siku umebainika
Upotevu wa wastani wa Shilingi 380,000 kwa siku umebainika katika makusanyo ya mapato ya stendi ambayo ni sawa na zaidi ya milioni 11 kwa mwezi Mkoani Dodoma . Na Mariam Matundu. Hayo ni kwa mujibu wa mkuu wa Takukuru mkoa…
2 February 2023, 1:19 pm
TAKUKURU Yaendelea kupiga vita rushwa ya ngono
Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru imesema inaendelea kupiga vita rushwa ya ngono kwani inadhalilisha utu wa Mtu. Na Mindi Joseph Changamoto ya rushwa ya ngono imekuwa ikiongezeka siku hadi siku kutokana na ukimya dhidi ya vitendo hivyo…
25 January 2022, 4:59 pm
Msemaji wa jeshi la Zimamoto Nchini aitembelea kampuni ya Dodoma media Group
Na; Mariam Kasawa Msemaji wa Jeshi la zima moto na uokoaji Nchini SACF Puyo Nzalayaimisi hii leo ameitembelea kampuni ya Dodoma media group inayomiliki vyombo vya habari vya Dodoma Fm pamoja na Dodoma Tv ili kujionea shughuli mbalimbali za utoaji…
25 August 2021, 1:08 pm
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka jeshi la polisi kutenda haki na kutimiza maju…
Na ; Fred Cheti. Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani amelitaka jeshi la polisi nchini kutimiza majukumu yake imepasavyo kwa kutenda haki kwa jamii na kuepuka kutumia nguvu yake kuwakandakiza wananchi. Mhe. Samia ametoa wito…