Dodoma FM
hotuba
2 November 2023, 11:12 am
Wizi wa mifugo washamiri Chinangali 2
Na Mindi Joseph. Wimbi la wizi wa mifugo limeendelea kushika kasi katika Kijiji cha Chinangali 2 wilayani chamwino mkoani Dodoma ambapo Mifugo hiyo huibiwa na kuchinjwa nyakati za usiku. Katika kipindi cha Miezi 10 ndani ya Mwaka huu 2023 ng’ombe…
25 June 2021, 1:49 pm
Rais Samia Suluhu amewataka viongozi wa dini Nchini kuendeleza mapambano dhidi y…
Na; FRED CHETI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani leo June 25 amewataka viongozi wa dini nchini kuendeleza mapambano dhidi ya janga la Corona. Akizungumza wakati akihutubia baraza la Maaskofu wa jimbo katoliki Tanzania jijini…