Radio Tadio

Ufugaji

16 Disemba 2022, 16:56

Wafugaji Waomba Elimu Ili Kuboresha Shughuli Zao

  WAFUGAJI zaidi ya 100 kutoka katika kata zote 30 za Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wameomba kupatiwa elimu ya ufugaji bora na maeneo ya malisho ili kuboresha shughuli zao ikiwemo kuongeza idadi ya mifugo ila sio kupunguza. Hayo yamebainishwa…