Radio Tadio

Mifugo

17 Novemba 2022, 3:56 um

DC Ruangwa atoa siku mbili wafugaji kuondoka maeneo yasiyo rasmi

Mkuu wa wilaya ya ruangwa Hassan Ngoma amewaasa madiwani kusaidiana katika operation inayoendelea ya kuwafukuza wafugaji wanaoshi katika maeneo ambayo siyo rasmi wilayani Ruangwa “Oparesheni inaendelea mfugaji ambae Hana baraka za kijiji au ODC anatakiwa kuondoka wilaya ina eneo moja…

2 Septemba 2022, 5:44 um

WAFUGAJI WILAYANI MASWA WAASWA KUFUGA MIFUGO KISASA ZAIDI ILI KULET…

Mwenyekiti  wa  Halmashauri  ya  Wilaya  ya   Maswa   Mh   Simoni   Maige   Amewataka   Wafugaji  kufuga   Mifugo   kwa  Tija  ili  ilete   Manufaa  na  kuwakwamua   Kiuchumi.. Mh  Maige   ameyasema  hayo   wakati  wa  Uzinduzi  wa  Josho  la  kuogeshea   Mifugo  lililojengwa  katika  Kijiji  cha  Dodoma  kilichopo …