Radio Tadio
2 Septemba 2022, 5:44 um
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mh Simoni Maige Amewataka Wafugaji kufuga Mifugo kwa Tija ili ilete Manufaa na kuwakwamua Kiuchumi.. Mh Maige ameyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Josho la kuogeshea Mifugo lililojengwa katika Kijiji cha Dodoma kilichopo …
25 Juni 2021, 1:49 um
Na; FRED CHETI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani leo June 25 amewataka viongozi wa dini nchini kuendeleza mapambano dhidi ya janga la Corona. Akizungumza wakati akihutubia baraza la Maaskofu wa jimbo katoliki Tanzania jijini…