Michezo
14 July 2023, 11:10 am
Migange aitupia lawama Mashujaa FC
Aliyekuwa kocha wa klabu ya mpira wa miguu ya Mashujaa FC Meja Mstaafu Abdul Migange amelaumu uongozi wa timu hiyo kutokana na kitendo cha kumuacha baada ya kuipandisha Ligi kuu ya Tanzania Bara Na Mussa Nkoningo Kocha aliyeipandisha timu Ya…
11 July 2023, 10:21 pm
Mashabiki wa soka Geita watamba usajili mpya
Dirisha kubwa la usajili limefunguliwa rasmi Julai 1, 2023 kwa ajili ya vilabu nchini kuingiza maingizo mapya yatakayowasaidia katika msimu mpya wa 2023/24, huku mapema vilabu hivyo vikianza usajili na kutangaza hadharani wakati vingine vikisajili kimya kimya. Na Zubeda Handrish…
7 July 2023, 5:09 pm
Timu ya Msolwa Station yaibuka bingwa-Tembo cup
Na Katalina Liombechi Mashindano ya Kilombero Tembo Cup yamemalizika kwa Msimu huu wa Mwaka 2023 baada ya Fainali iliyokutanisha Timu ya Msolwa Station kuibuka na Ushindi wa Mabao 5-4 dhidi ya Mang’ula B ushindi ambao umepatikana kwa Mikwaju ya Penati.…
11 June 2023, 6:21 pm
Heaven Safari and Tour’s, Kitomo hardware wamwaga vifaa Nzihi cup 2023
Na Hafidh Ally Kampuni ya Heaven Safaris and Tour’s na Kitomo Hardware wamegawa vifaa vya michezo kwa timu shiriki kwenye michuano ya Nzihi Cup 2023 yatakayoanza kutimua vumbi Juni 17 mwaka huu huko kata ya Nzihi. Vifaa vilivyogawiwa kwa viongozi…
10 June 2023, 3:29 pm
Mashindano UMISETA yafungwa Katavi
KATAVI Wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia michezo na kuzitengea bajeti idara zote za michezo katika maeneo yao. Maagizo hayo yametolewa na katibu tawala wa mkoa wa Katavi Hassan Rugwa wakati akifunga mashindano ya Umoja wa Michezo…
9 June 2023, 7:52 pm
Mafinga washinda tuzo saba mashindano UMISETA
Na Frank Leonard Halmashauri ya mji Mafinga imeshinda vikombe saba kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa wanafunzi wa Shule za Sekondari (UMISSETA) ngazi ya mkoa. Mashindano hayo yaliyofanyika katika shule ya sekondari ya JJ Mungai ya mjini…
7 June 2023, 4:19 pm
UMISETA wahimizwa nidhamu
Afisa usalama wilaya ya Kongwa Bwana Mwakasendo amesisitiza kuzingatia muda na kuwa wavumilivu kuendana na ulimwengu tulionao kwani muda ni siri ya ushindi. Na Bernadetha Mwakilabi. Wanafunzi 115 wa shule za sekondari wilayani Kongwa wanaoshiriki mashindano ya umoja wa michezo…
30 May 2023, 10:10 am
Wakurugenzi watenge bajeti sekta ya michezo
MPANDA Katibu tawala wa mkoa wa Katavi Hassan Rugwa amewataka wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani hapa kuhakikisha wanatenga bajeti ili kuwezesha sekta ya michezo. Akizungumza wakati wa kufungwa kwa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za msingi…
29 May 2023, 9:32 AM
Shirika la SDA lagawa vifaa vya michezo shule za msingi, sekondari Masasi
MASASI. Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na michezo Sports Development Aid SDA, limeunga mkono juhudu za serikali za kuhakikisha jamii inajengewa uwezo wa kuwa na afya njema kwa kugawa vifaa vya michezo kwa shule za msingi na sekondari za halmsahuri…
26 May 2023, 12:13 pm
Washiriki Great Ruaha Marathon wahakikishiwa usalama ndani ya hifadhi
Na Hafidh Ally Washiriki wanaotarajia kushiriki mbio za Great Ruaha Marathon 2023 ambazo zitafanyika katika hifadhi ya taifa ya Ruaha, wamehakikishiwa kuwepo kwa usalama wakati wote wa mashindano hayo. Akizungumza na Nuru FM mratibu wa shirika la Sustainable Youth Development…