Michezo
24 May 2023, 2:08 pm
SYDP laanza kufanya usajili wa washiriki wa mbio za Great Ruaha Marathon 2023
Na Hafidh Ally Shirika la Sustainable Youth Development Partnership (SYDP) linaloratibu mbio zilizopewa jina la Great Ruaha Marathon 2023 zitakazofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha mkoani Iringa, tarehe 8 Julai mwaka huu limeanza kufanya zoezi la usajili wa washiriki. Mbio…
22 May 2023, 5:53 pm
Mtembezi Marathon kutangaza utalii wa ndani
Akizungumza baada ya kikao hicho mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh Jabiri Shekimweri amefafanua malengo ya mbio hizo. Na Alfred Bulahya. Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Dodoma, Mtembezi Adventures, Pamoja na Dodoma Media Group imeandaa mbio maalum (Mtembezi Marathoni)…
17 May 2023, 4:51 pm
TMO yawasilisha rasimu ya ujenzi wa kituo cha michezo Mbande
Kwa mujibu wa viongozi wa Taasisi hiyo ujenzi wa Kituo hicho utaleta tija kwa wananchi kwani utahusisha maeneo ya vitega uchumi mbalimbali yakiwemo maduka na huduma nyinginezo. Na Alfred Bulahya. Taasisi ya Tembea Kwa Matumaini Organization (TMO) imewasilisha rasimu ya…
11 May 2023, 10:50 am
Mashindano ya mbio za magari kufanyika msitu wa Sao Hill Iringa Mei 13
Na Fabiola Bosco Mashindano ya mbio za magari yanayofahamika kwa jina la CMC Automobile Sao Hill Forest Rally of Iringa yanatarajiwa kuanza tarehe 13 mwezi wa tano katika Misitu ya asili Sao Hill . Kwa mujibu wa mwandaaji mkuu wa…
4 May 2023, 1:03 pm
Mchezo wa kriketi kuongeza mahudhurio ya wanafunzi
Afisa michezo wilayani Kongwa amesema wanawajengea uwezo walimu waweze kuwasaidia watoto kumudu vitendo vya mchezo wa kriketi ili kupitia ubora wa timu za shule zao waweze kupata wachezaji wazuri wa kuunda timu za Wilaya na pia wapate fursa ya kuchaguliwa…
10 April 2023, 8:11 am
Mashindano ya Taifa ya mpira wa mikono yafanyika Bunda Mji
Kwa mara ya pili mfululizo mashindano ya mpira wa mikono (handball) Taifa yanafanyika katika ardhi ya Halmashauri ya Mji wa Bunda. Mashindano haya yalianza siku ya Jumatano tarehe 04.04.2023 na kuzinduliwa na mdau mkubwa wa michezo Ndg. Kambarage Wasira katika…
5 April 2023, 12:41 pm
Wazazi Wapeni nafasi watoto kushiriki michezo
Wazazi wametakiwa kutenga muda wa kushiriki katika michezo baada ya masomo na kuwanunulia vifaa vya michezo ili wawe na afya bora. Na Adelphina Kutika Wazazi na wazazi Manispaa ya Iringa wametakiwa kuwapa nafasi watoto kushiriki katika michezo ili kuibua vipaji…
4 March 2023, 5:27 pm
Bado wazazi wana wajibu wa kuibua vipaji vya watoto wao.
KATAVI Baadhi ya wazazi mkoani katavi wamesema wanao wajibu wa kuwapa nafasi watoto kushiriki katika michezo ili kuibua vipaji walivyo navyo watoto na kuviendeleza ili viweze kuwa msaada kwa maisha ya baadae ya mtoto. Wakizungumza na mpanda redio fm wamesema…
28 February 2023, 4:58 pm
Tanroads Iringa yaicharaza Njombe 5-0
Katika kujenga mahusiano mazuri ya kiutendaji,TANROADS mkoa wa Iringa pamoja na mikoa ya Njombe na Mbeya wamefanya bonanza la michezo. Na Ansigary Kimendo TANROADS mkoa wa Iringa wamefanya bonanza la michezo lililoshirikisha watumishi wa TANROADS kutoka mikoa ya Njombe Mbeya…
14 February 2023, 9:41 pm
Huku PSG vs Bayern Munich huku AC Milan vs Spurs: uchambuzi toka Pangani
Na Erick Mallya Barani ulaya hii leo wapenzi wa soka watakuwa wameelekeza hisia zao pale katika dimba la parc des Princes Ufaransa katika mchezo wa hatua ya 16 bora kati ya PSG na Bayern Munich mchezo uliosubiriwa kwa hamu kubwa…