Butiama FM Radio

Butiama FM wanolewa utangazaji kidijitali Radio Tadio

October 7, 2025, 7:48 pm

Waandishi wakiwa makini kusikiliza namna ya kuandika habari za portal

Na Oscar Mwakipesile

Katika semina iliyoandaliwa na Butiama FM siku ya pili tangu kuanza kwa semina hiyo wamefundishwa namna bora ya kuandika habari zinazoweza kuwekwa katika mtandao wa portal ili kuwawezesha kuwa na uelewa juu ya umuhimu wa kuandika habari za kidijitali.

Waandishi wakifuatilia mafunzo kwa umakini.

Aidha wameweza kufanya mazoezi ya kuandika habari hizo kwa ajili ya kuwekwa kwenye portal, mafunzo hayo yanafanyika kwa siku nne Butiama kwenye Makumbusho ya JK Nyerere.