Offline
Play internet radio

Recent posts

October 7, 2025, 7:48 pm

Butiama FM wanolewa utangazaji kidijitali Radio Tadio

Na Oscar Mwakipesile Katika semina iliyoandaliwa na Butiama FM siku ya pili tangu kuanza kwa semina hiyo wamefundishwa namna bora ya kuandika habari zinazoweza kuwekwa katika mtandao wa portal ili kuwawezesha kuwa na uelewa juu ya umuhimu wa kuandika habari…

October 6, 2025, 6:43 pm

Waandishi wa habari Butiama wasisitizwa kuandika habari za jamii.

Uongozi wa Butiama fm umewasisitiza waandishi wa habari kutoa habari zinazo zunguka jamii husika Na Oscar Mwakipesile Katika semina ya siku nne iliyoandaliwa na uongozi wa Butiama fm umewaasa waandishi wa habari kutoa taarifa za jamii husika ili kuwezesha wananchi…

October 3, 2025, 9:56 pm

RC Mara aongoza kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii

Kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii na uhamasishaji wa haki ya juu, kuweka mkakati wa mawasiliano mazuri kuitangaza Butiama FM Radio 93.1. Na Swaiba Oscar Mkuu wa mkoa ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi kwenye kusanyiko hilo aliongoza na kuwasihi wananchi wa…

October 3, 2025, 6:39 pm

Viongozi wa CDEA walifika Butiama

Uongozi wa CDEA kutoka Dar es salaam umetua Butiama ukiongozwa na Mkurugenzi wa Culture Development East Africa CDEA Ayeta Ane Wangusa kwa ajili ya kukutana na kufanya mkutano na wadau wa butiama juu ya maendeleo ya radio butiama uliofanyika leo…

April 24, 2025, 10:10 am

Mwampembwa: Wasanii Butiama shiriki bajeti ya Wizara yenu

Wasanii na wadau wa sanaa wilaya ya Butiama mkoani Mara wametakiwa kuwa na jukumu la kutoa maoni juu ya bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia vyombo washirika. Na Swaiba Oscar na Robert Mwampembwa

April 23, 2025, 2:58 pm

Utafiti juu ya kuzipa heshima kazi za wabunifu

Shirika la Kazi Duniani ILO kwa kushikiana na UNESCO wamefanya utafti ni kwa namna gani wanaweza kuzipa heshima kazi za wabunifu kulingana na hadhi ya kazi hiyo. na Swaiba Oscar Akizungumza alipokuwa akifanyiwa mahojiano mkurugenzi wa culture development east Africa…

April 23, 2025, 10:27 am

Kijana wa Butiama ang’ara AFCON 2025

Kijana Juma Mwita Sagwe afunga goli pekee dhidi ya Zambia kwenye mchezo wa AFCON 2025 Morocco. Na Kelvin Ayoub Juma Mwita Sagwe ambaye ni zao la Brazuka Sports Promotion Ltd ambao walifanya mashindano ya kuibua vipaji vya vijana mwaka 2023…

Butiama FM Radio

Butiama FM was founded to act as a catalyst for placing culture at the centre of human development. The station will involve community members and local government authorities.

Butiama FM Radio adheres to set standards by TCRA including technical specifications for equipment and infrastructure, content regulations, and requirements for local content. Local community is center of the station and other stakeholders: women’s organizations, youth groups, farmers groups, mothers of the community, the school teachers and school children, health committees, local opinion/influential leaders, religious organizations, groups of HIV positive people, and a host of other organizations each with its subgroups and constituencies.  These groups and organizations involved and engaged will promote the organization of every interest sector to feel this radio is theirs and in order for it to survive, their active participation and contributions are vital.

Vision

To have an informed community where cultural norms and values form the social basis, context and purpose for development.

Mission

To provide a platform for the community in Butiama, as well as, the Local Government to share and participate in development process. To act as a catalyst to ensure positive culture, norms and values is placed at the center of human development.

Objective

Our primary objectives is to improve the rural community initiatives through an improved communication system, and to act as a forum for community to exchange development ideas and debate local, regional and national issues , and cultural provide music entertainment and cultural promotion.