Recent posts
17 July 2026, 10:25 am
Dkt. Mahera asikiliza kero za wananchi Kukirango
Nimepokea kero na maoni ya wananchi kuhusu huduma za maji, umeme, barabara na ujenzi wa soko la kisasa. Nitazifuatilia kwa karibu kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Butiama pamoja na wadau mbalimbali ili kuhakikisha changamoto hizo zinapatiwa ufumbuzi na…
17 July 2026, 9:54 am
Dkt. Mahera akagua miradi, asikiliza kero za wananchi Butiama
“Nitashirikiana na Serikali pamoja na wananchi kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaohitajika, ili huduma muhimu ziendelee kuwafikia wananchi wa Jimbo la Butiama “Mbunge wa Jimbo la Butiama, Dkt. Wilson Mahera Charles Na Amos Marwa Mbunge…
4 July 2026, 7:48 am
Serikali kuboresha barabara za ndani Butiama
“Nawataka vijana na wananchi wote kulinda amani, umoja na utulivu wa nchi, kwa sababu mazingira ya amani ndiyo msingi wa maendeleo endelevu. Bila amani, hatuwezi kujenga uchumi imara wala kufanikisha maendeleo tunayoyahitaji kama taifa.”Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Na…
1 July 2026, 9:15 am
Vilevile cup yawasha moto Butiama
Na Amos Marwa Mashindano ya Vilevile Cup, yanayofanyika kila mwaka Wilaya ya Butiama kwa lengo la kuthamini na kutambua mchango wa Jackton Nyambeleka Nyerere, yamezinduliwa rasmi leo, Juni 30, na Kamati ya Maandalizi ya mashindano hayo. Akizungumza wakati wa uzinduzi,…
21 June 2026, 7:46 am
Butiama yaweka mkazo usafi wa mazingira
“Hakuna mfanyabiashara anayepaswa kupuuza kampeni hii ya usafi. Wale ambao hawakuhudhuria leo, majina yao yaandikwe kwa ajili ya kuchukuliwa hatua za kisheria,“ Mkuu wa Wilaya ya Butiama, Thecla Mkuchika. Na Amos Marwa Mkuu wa Wilaya ya Butiama, Thecla Mkuchika, amezindua…
20 June 2026, 9:39 am
Ajiita Kanali, atapeli laki nne
‘‘Tunaviomba vyombo vya sheria kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua kali za kisheria ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye nia ya kujihusisha na vitendo vya udanganyifu na wizi.“Mwenyekiti wa Mtaa wa Makore, Safari Igembe Na Oscar Mwakipesile Aliyekuwa Diwani wa Kata…
8 June 2026, 8:08 am
Redio za jamii zajengewa uwezo wa kukabiliana na Ebola
Na Rose Haji Mwalimu Wafadhili wa miradi mbalimbali nchini wamekumbushwa umuhimu wa kuvishirikisha vyombo vya habari si tu katika hatua za upangaji wa shughuli, bali pia kwa kuvitengea bajeti maalum katika utekelezaji wa miradi hiyo ili kuwezesha uhamasishaji na utoaji…
30 May 2026, 2:50 pm
Wavamizi wachoma nyumba Muhunda
‘‘Tulikuwa na uzinduzi wa albamu ya muziki ambayo ilikuwa inafanyika katika sehemu yangu ya biasahara tulimaliza usiku na tulirejea saa tisa usiku tukiwa na mke wangu na kukuta nyumba imechomwa moto” David Wanzagi Nyerere Na Amos Marwa Watu wasiojulikana wamevamia…
28 April 2026, 2:20 pm
Polisi Butiama yatoa onyo uhalifu wa mitandao
”Wananchi wanapaswa kuthibitisha habari kupitia vyanzo rasmi na vya kuaminika kama Butiama FM kabla ya kusambaza habari hiyo lakini pia kuepuka kusambaza maudhui yasio na staha kwa jamii yetu” ASP Ponsian Kalinjuma, mkuu wa Polisi Jamii Wilaya ya Butiama, Na…
27 April 2026, 3:24 pm
Mila kandamizi zachochea ukatili wa kijinsia Butiama
Ukiozesha mtoto mdogo ambaye hajafikia umri sahihi hilo ni kosa la jinai mzazi atachukuliwa hatua kwa mujbu wa sheria kuna baadhi ya wazazi wanasema mtoto mwenyewe karidhia hiyo haikubaliki mtoto hana maamuzi ya kuingia kwenye ndoa kabla ya muda” Sajenti…