![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
TADIO
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/5/2023/03/eeeeeeeeeee.jpg)
29 March 2023, 10:13 AM
Jamii ya wafugaji Lukuledi wakosa chanjo ya UVIKO 19
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi inayosababisha jamii za wafugaji kuhamahama kutafuta malisho kumechangia kwa kiasi kikubwa kupelekea jamii kukosa kupata baadhi ya huduma za kijamii Hayo yamesema na baadhi ya Jamii ya wafugaji ambao wanafanya shughuli zao za ufugaji…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/5/2022/12/img-20221215-112312-270-scaled.jpg)
16 December 2022, 10:19 AM
Waandishi wa Habari Radio Fadhila wapigwa Msasa
Na Lawrence Kessy Waandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Fadhila wamepata mafunzo ya jinsi ya kuandaana kuchakata habari za Mitandao ya Kijamii pamoja na kuzingatia maadili ya tasnia ya habari Mafunzo hayo yametolewa Alhamisi Desemba 15, 2022 na Amua…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2021/11/download-22.jpg)
22 November 2021, 11:54 am
Wakazi wa Ihumwa waulalamikia mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF)
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Ihumwa Wilaya ya Dodoma mjini wameulalamikia mfuko wa maendeleo ya jamii(TASAF)juu ya vigezo walivyo zingatia katika usajili wa watu wenye uhitaji wa kusaidiawa na mfuko huo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya…