Butiama FM Radio

Viongozi wa CDEA walifika Butiama

October 3, 2025, 6:39 pm

Viongozi wa CDEA wakiwasili Butiama kwenye kikao na wadau kuhusu Butiama FM 91.3

Uongozi wa CDEA kutoka Dar es salaam umetua Butiama ukiongozwa na Mkurugenzi wa Culture Development East Africa CDEA Ayeta Ane Wangusa kwa ajili ya kukutana na kufanya mkutano na wadau wa butiama juu ya maendeleo ya radio butiama uliofanyika leo ijumaa katika viwanja vya chifu wanzagi.

Story na Swaiba oscar

Baadhi ya wafanyakazi wa Cdea

Kikao hicho kinalenga kuinua maendeleo ya butiama na kupinga unyanyasaji na kuleta usawa katika jamii ya butiama kupitia radio ya butiama fm 91.3 itakayofunguliwa wilayani butiama mkoani Mara .

Wafanyakazi wa Butiama FM 91.3