Boma Hai FM
Msaada
8 March 2024, 8:45 am
NSSF Hai watoa msaada kuelekea siku ya wanawake duniani
Katika kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo Machi 8 kila mwaka NSSF wilaya ya Hai wametoa msaada kwa wenye uhitaji. Na Stanley Christian Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Shirika la Taifa la…