Boma Hai FM
Mkataba
13 March 2024, 12:13 pm
Ushirika Hai waanza kuleta tija, Saashisha aishukuru serikali
Mkataba wa kwanza wa Wazi katika vyama vya ushirika na ulioandikwa kwa lugha ya kiswahili na kingereza umesainiwa leo kati ya chama cha ushirika cha MUROSO SANGI dhidi ya Kampuni ya MACJARO LTD ambapo unatajwa kuwa ni mkataba wenye manufaa…