Boma Hai FM
Michezo
31 March 2024, 10:35 am
Mkenda Super Cup 2024 yazinduliwa rasmi, wachezaji wapewa vifaa vya michezo
Mashindano ya Mkenda Super Cup ambayo yalianza rasmi mwaka 2022 katika Jimbo la Rombo yakidhaminiwa na Mbunge wa Jimbo hilo Profesa Adolf Mkenda yazinduliwa rasmi,timu za mpira wa miguu zipatazo 126 kuchuana vikali. Na Elizabeth Mafie Mashindano ya Mkenda Super…