Boma Hai FM
Mazingira
24 April 2024, 2:32 pm
Kuelekea miaka 60 ya Muungano ,Masama kusini wapanda miti 1650
Katika kuelekea miaka 60 ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kata ya Masama Kusini wapanda miti,Diwani asema ni utunzaji wa mazingira. Na Janeth Joachim Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka wananchi kuotesha miti katika maeneo yao katika…