Boma Hai FM
Kilimo
13 April 2024, 8:58 am
Mfumo wa kubaini ukame tumaini jipya kwa wakulima Kilimanjaro
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi ambayo yamekuwa yakileta athari kwa wakulima na watumia maji Taasisi ya Nelson Mandela ya sayansi na teknolojia wabaini mfumo wa kubaini ukame mapema. Na Elizabeth Mafie Wadau wa Mazingira kutoka taasisi ya Nelson Mandela…