Baraka FM

wizi

21 March 2024, 18:00

Mwizi wa simu ahukumiwa miaka 30 jela

Sheria ni msumeno unaokatakata kuwili na sheria ni mwongozo unaotumika kuongoza mambo fulani iwe kwenye kikundi au nchi fulani, taifa la Tanzania ni miongozni mwa mataifa yanayoongozwa na sheria kupitia katiba ya nchi . Na Mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya…