Baraka FM
vifo
8 April 2024, 19:15
Fisi aua watatu, ajeruhi, watano wafa maji Mbeya
Jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limeendelea kutoa wito kwa wazazi na walezi kuchukua tahadhari kwa watoto kwa kuhakikisha wanaweka uangalizi mzuri kwa watoto wao. Na Ezra Mwilwa Watoto watatu wameuwawa na wengine kujeruhiwa na mnyama aina ya fisi katika…