Baraka FM

ulinzi

27 March 2024, 11:22

Imarisheni ulinzi kwenye maeneo yenu

Jukumu la ulinzi ni la kila mtu kwenye eneo lake na ulinzi wa jamii unatajwa kuwa chanzo cha kuimarisha amani kwani matukio mengi yamekuwa yakifichuliwa na wananchi. Na Imani Anyigulile Vijana wa mtaa wa kabwe na bank kata ya Ruanda…

19 March 2024, 18:42

10 wakamatwa wakitorosha kilo 9.8 za dhahabu mkoani Mbeya

Shughuli za kila mwanadamu zinatengemea kufanywa kupitia taratibu na sheria za nchi,na endapo mtu akikiuka hayo ni lazima achukuliwe hatua kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi. Na Hobokela Lwinga Watu 10 wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Mbeya…

14 March 2024, 14:24

Polisi Mbeya wapokea vitendea kazi kutoka Lulu saccos

Kila mwananchi anapaswa kushiriki shughuli za ulinzi kwa namna yoyote ile,ikiwa huwezi kushiriki kwa nguvu basi unapaswa kujitoa kwa mali hivi ndivyo taasisi ya fedha ya lulu saccos imeamua kushiriki kuimarisha ulinzi kwa kulipatia jeshi la polisi vitendea kazi. Na…