Baraka FM
Sikukuu
9 April 2024, 14:47
Waislamu Mbeya wapewa tabasamu na MNEC Mwaselela
Jamii ina hitaji upendo,kila mtu anapaswa kumonyesha upendo mwingine hiyo kwa Mungu ni thawabu kubwa. Na Mwandishi wetu Kuelekea sikukuu ya Eid El-fitri Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) kutoka Mkoa wa Mbeya Ndugu Ndele Mwaselela ametoa sadaka…