Baraka FM

semina

13 April 2024, 11:16

Moravian Jimbo la Kusini yaendesha semina kwa watumishi wake

Wanasema elimu haina mwisho,unapopata fursa ya kupata elimu huna bidi kuikimbia na badala yake unapswa kuiwa mpokeaji ili kukuongezea ujuzi kwenye jambo unalolifanya au kulisimamia. Na Mwandishi wetu Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini limeendesha Semina ya pili kwa…