Baraka FM

Redio

29 February 2024, 16:58

Waandishi wa habari watakiwa kuelimisha jamii

Na Mwandishi wetu Songwe Kamanda wa Polisi mkoani Songwe SACP Theopista Mallya amewataka waandishi wa habari mkoani hapa kuendelea kuielimisha jamii dhidi ya vitendo vya ukatili. Kamanda Mallya ameyasema hayo February 28, mwaka huu, mbele ya viongozi wa Klabu ya…

22 February 2024, 15:09

LHRC yatembelea kituo cha redio Baraka Jijini Mbeya

Na Hobokela Lwinga Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt. Anna Henga ametembelea Radio Baraka Fm iliyopo jiijini Mbeya.Dkt. Henga amepata wasaa wa kujifunza namna ambavyo kituo hicho kinavyoendesha shughuli zake za kuwapatia elimu wasikilizaji…