Baraka FM
Nyama
28 March 2024, 20:15
TMB yapiga marufuku wauzaji nyama kupuliza dawa yenye sumu buchani
Na mwandishi wetu Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) Nyanda za Juu Kusini imepiga marufuku wauzaji wa bucha za nyama kuachana na tabia ya kupuliza dawa zenye sumu ili kulinda afya za walaji. Ofisa Mfawidhi wa Bodi ya Nyama Kanda ya…