Baraka FM
mwanamke
12 March 2024, 20:55
Aliyeua watoto wake wawili kwa sumu mkoani Mbeya naye afariki
Siku zote wanasema uchungu wa mwana aujuaye mzazi ,hii imekuwa tofauti kwa mwanamke mmoja mkoani Mbeya kuchukua maamzi ya kuwanywesha watoto wake sumu na kusababisha kifo. Na Hobokela Lwinga Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limetoa taarifa kuwa mtuhumiwa Dainess…