Baraka FM
msaada wa bati
23 March 2024, 07:20
Mbeya UWSA yakabidhi bando 8 za mabati kwa shule na ofisi ya mtaa
Nyuma ya mafanikio yako wapo watu wanaokuwezesha hivyo tunapaswa kujifunza kuwa na shukrani,haya tunafundishwa na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya ambao wameona umuhimu wa kurudi kwa jamii kwa kurudisha kwa jamii baadhi ya mafanikio yake. Na…