Baraka FM

mgomo

22 February 2024, 17:35

Bodaboda Mbeya wagoma, wavamia ofisi za jiji

Na Ezra Mwilwa Umoja wa madereva bodaboda mkoa wa Mbeya wamefanya maandamano katika ofisi za jiji kuomba kusikilizwa kero zao ikiwepo kukamatwa na kutozwa faini wawapo barabarani. Mwenyekiti wa umoja huo Ndg. Aliko Fuanda amesema wamekuwa wakikamatwa pindi wanapoingia soko…