Baraka FM
Lishe
26 March 2024, 09:31
Wananchi wapigwa marufuku kuuza mazao kiholela
Akiba ni msingi wa maendeleo,Mkoa wa Songwe ni moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini inayosifika katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara,kumekuwa na tabia ya baadhi ya wananchi kusahau kesho yao pale wanapovuna mazao na wanajikuta wanauza…
6 February 2024, 18:11
Wazazi washauriwa kuwapatia watoto lishe bora kupunguza udumavu nchini
Diwani wa kata ya Nanyala George Msyani wakati akiongea na wananchi wa kata hiyo(picha na Rukia Chasanika) udumavu kwa watoto unasababishwa na baadhi ya wazazi na walezi kutowapatia lishe bora watoto wao pamoja na kutozingatia makundi ya vyakula. Na Rukia…