Baraka FM
kuelekea uchaguzi
9 April 2024, 13:46
Askofu Mwakanani: Mnapogombea zingatieni misingi na kanuni za uongozi
Mwaka 2024 kunatarajia kuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa nchi nzima huku ikitarajiwa kupatikana kwa wenyeviti wa mitaa na vijiji sambamba na 2025 kunatarajiwa kuwepo kwa uchaguzi mkuu wa Rais, Wabungeni na Madiwani. Na Kelvin Lameck Viongozi wa vyama…