Baraka FM
habari za songwe
13 March 2024, 09:31
Familia yavamiwa Songwe, mke abakwa
Katika hali isiyo ya kawaida, familia moja mkoani Songwe imejikuta ikiingia kwenye hofu kubwa baada ya kuvamiwa usiku wa manane na kisha mama wa familia kubakwa na watu wasiofahamika. Na Ezra Mwilwa Mwanaume mmoja (Jina limehifadhiwa) mkazi wa wilaya Songwe…