Baraka FM
ardhi
22 March 2024, 19:39
Mwenyekiti CCM Mbeya atoa maagizo waliovamia ardhi ya chama kukiona
Chama cha mapinduzi mkoa wa Mbeya kimeanza kurudisha mali zote zilizochukuliwa kinyume na utaratibu wa sheria. Na Ezra Mwilwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mbeya Patrick Mwalunenge amewapa siku Saba wale wote waliovamia eneo la shamba la…