Adhana FM
UJASIRIAMALI
28 September 2021, 10:35 am
SMZ imeombwa kutenga eneo maalum kwa wajasiriamali kuekeza
Na Ali Khamis, Wilaya ya Magharib B Shirika la Centre for Community Initiaties (CCI) Tanzania limetoa pendekezo kwa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kutoa eneo maalumu la kiuchumi litalotumika kuwekeza viwanda vidogo kwa vikundi vya wajasiriamali wa hali ya chini.…